Kwa Mujibu wa Shirika la Habari la Hawza, Kikao hicho kilijumuisha usomaji wa Qur'ani Tukufu, mihadhara ya kidini, nawha na nyimbo za maombolezo, ambapo washiriki walionesha mapenzi yao kwa Ahlul-Bayt (as) kwa kushiriki kwa unyenyekevu na majonzi makubwa.







Maoni yako